[metaslider id=”4767″] Wananchi wamepewa mafunzo namna kutumia mitego ya panya ili kuzuia uharibifu ambao unaweza kusababishwa na panya hao katika mazingira wanayoishi na mazingira jirani na makazi yao. Mafunzo hayo yametolewa na Professa Makundi kutoka Taasisi ya Kudhibiti Viumbe Hai Waharibifu SUA Pamoja na Prof Steve Belmain, (Mshirika wa tafiti) kutoka Chuo kikuu cha Greenwich...Read More