May 17, 2023

Day

Watafiti wa Taasisi ya  udhibiti viumbe hai waharibufu(SUA) Prof.Rhodes Makundi  akiambatana na watafiti wengine kutoka taasisi ya kudhibiti viumbe hai waharibifu, Madagasca na uingereza  watoa mafunzo ya udhibiti wa panya katika mashamba ya mpunga Ichonde na Kanolo  vilivyopo Wilayani Kilombero mkoani Mororgoro. Mafunzo haya yamehudhuliwa na wakulima na viongozi mbalimbali wa ngazi ya kata na...
Read More